Posts

Showing posts with the label social media privacy

Mitandao ya Kijamii: Jinsi ya Kulinda Usiri Ukiwa Online

Image
 Usiri Kwenye Mitandao ya Kijamii | Njia Bora za Kujilinda 💫 Gundua jinsi ya kulinda taarifa zako binafsi kwenye Whatsapp, Instagram na TikTok kwa kutumia privacy settings na mbinu rahisi. Mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram na TikTok imekuwa inatumiwa  kila siku na watu wengi. Lakini je, unafahamu kwamba unaposhiriki picha, mahali ulipo au taarifa zako binafsi, unaweza kuwa unafungua mlango kwa watu wasio sahihi? Changamoto kubwa ya mitandao ya kijamii ni privacy settings ambazo watu wengi huzipuuza. Kwa mfano, ukiwa na akaunti wazi, mtu yeyote anaweza kuona taarifa zako, jambo linaloweza kukuweka kwenye hatari ya udanganyifu au hata ufuatiliaji usiofaa. Ili kujilinda, hakikisha unarekebisha mipangilio ya  Usiri  yako. Orodhesha ni nani anayeweza kuona machapisho yako, punguza kiwango cha taarifa unazoshiriki hadharani, na epuka kuchapisha taarifa nyeti kama anwani au namba za benki. Kumbuka pia kutumia two-factor authentication ili kuongeza usalama w...